• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Afya

 Utangulizi

Mkoa una jumla vituo 365 vinavyotoa huduma za Afya: Hospitali 13, Vituo vya Afya 50 na Zahanati 302

Kati ya vituo vya kutolea huduma 365, 198 (54.2%) vinamilikiwa na Serikali, 87 (23.8%) Binafsi, 69 (18.9%) Mashirika ya Dini, na 10 (2.7%) Mashirika ya Umma

Kati ya hospitali 13,Serikali inamiliki 4 (30.8%),mashirika ya dini 8 (61.5%),mashirika ya uma 1 (7.7%),binafsi 0

Lengo la Kitaifa ni kila halmashauri kuwa na hospitali ya halmashauri,kila Kata kuwa na Kituo cha Afya na kila Kijiji/Mtaa kuwa na Zahanati kwa asilimia

Maelezo

Ukilinganisha na robo iliyopita viwango vifuatavyo vimeongezeka:

Mahudhurio ya wajawazito kliniki toka 23.1% hadi 27%

Matumizi ya njia za uzazi wa mpango toka 40% hadi 40.8%

Upimaji wa watoto wachanga VVU toka 95% hadi 99.6%

Chanjo ya penta 3 toka 97 hadi 102%

Vifo vya wanawake vitokanavyo na uzazi Jan-Machi 2017

Halmashauri 
Kituoni 
Jamii 
Jumla 
Arusha Jiji
3
0
3
Arusha DC
0
0
0
Karatu
2
2
4
Longido
2
0
2
Meru
2
1
3
Monduli
1
0
1
Ngorongoro
0
1
1
JUMLA 
10 
4 
14 

Sababu zinazoongoza kwa vifo

Kutokwa damu nyingi baada ya kujifungua-6(43%)

Embolism-3(21%)

Kupasuka kizazi(Ruptured uterus)-2(14%)

 

Mikakati iliyopo:

Halmashauri  zimeshauriwa  kufanya yafuatayo:

Kutumia fedha za uchangiaji kuomba oda maalum (Special Request) MSD kulingana na utaratibu waliotupatia

Kuweka kwenye bajeti maombi ya vibali vya ajira

 Kutenga bajeti za ujenzi/ukarabati wa bohari za dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya

 Ufuatiliaji wa matumizi ya dawa vifaa tiba na vitendanishi wakati wa ziara za usimamizi


Ukarabati wa Hospitali ya Rufaa ya Mt. Meru kuanza ujenzi wa Hospitali za Wilaya pamoja na ujenzi wa ukarabati wa Vituo vya Afya katika Mkoa wangu  umeendelea kama ifuatayo:-

Awamu ya Kwanza kwa ujenzi na ukarabati wa vituo vya Afya na tulipata kiasi cha shilingi Bilioni Moja kwa ajili ya Vituo 2.Kituo cha Afya Kambi ya Simba  kilichopo Halmashauri ya  Karatu wamepata Kiasi cha Tsh.Milioni 500, na Kituo cha Afya Nduruma kilichopo Arusha DC wamepata Kiasi cha Tshs.Milioni 500.Sambamba na fedha hizi kila kituo kimetengewa kiasi cha Tshs milioni 220 kwa ajili ya Vifaa.

Awamu ya Pili tulipata kiasi cha shilingi cha Bilioni 3.1 kwaajili ya ukarabati wa vituo vifuatavyo:-

  • Kituo cha Afya  Mto wa Mbu –Hamashauri ya Wilaya ya
  •         Monduli milioni 400.
  •         Kituo cha Afya Engarenaibor- Halmashauri ya Wilaya ya
  •         Longido milioni 400.
  • Kituo cha Afya Murieti –Halmashauri ya Jiji la Arusha
  •         milioni 700 na Jiji wamechangia sh. Milioni 500 kutoka
  •         mapato ya ndani.
  •         ya Wilaya ya Longido kila kimoja milioni 700.
  • Kituo cha Afya Usa-River-Halmashauri ya Wilaya ya
  •         Meru milioni 500.
  • Kituo cha Afya Moshono sh. 500 milioni mapato ya ndani.

Aidha,Hospital ya Rufaa ya Mt. Meru imepokea sh.1,145,000,000 kwa awamu ya kwanza kwa ajili ya ujenzi wa Wodi Grade I na ICU.

Jiji la Arusha limeanza ujenzi wa Hospitali ya Wilaya kwa Ujenzi wa jingo la wagonjwa wan je (OPD) ambalo lipo hatua ya kupaua ambapo Jiji limetenga sh.535, 518,225 kwa mapato ya ndani.

Pamoja na ukarabati huu kuendelea bado tunatarajia kuboresha Huduma ya afya katika;

  • Hali ya upatikanaji wa dawa muhimu, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi imeimarika  kutoka asilimia 76% hadi 95.3%. 
  • Ongezeko hili limetokana na Serikali kuongeza bajeti ya dawa kwa Halmashauri kutoka bilioni 1.9 (2016-17) hadi bilioni 2.6 (2017-18).


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI UFAULU WA SHULE ZA MSINGI-RC KIMANTA

    April 19, 2021
  • WATOTO CHINI YA MIAKA 5 KUPATIWA VYETI VYA KUZALIWA BURE

    April 16, 2021
  • JAJI MKUU-YAFAHAMUNI MABORESHO YA MAHAKAMA

    April 15, 2021
  • ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI FALME ZA KIARABU

    April 08, 2021
  • Angalia Zote

Video

JIUNGENI NA BIMA YA AFYA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa