Malengo ya jumla ya Serikali ya Awamu ya Tano katika sekta ya kilimo ni kukifanya kilimo kuwa cha kisasa na cha kibiashara na chenye tija ili kuhakikisha kuwa Taifa letu linajitosheleza kwa chakula, kuimarisha uchumi, kuongeza kipato cha mkulima, kuwa kichocheo cha kukua kwa viwanda na kuongeza ajira. Katika muktadha huo, Mkoa wa Arusha umetekeleza mikakati ifuatayo:
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa