Mikakati ya Serikali ya Awamu ya Tano, kwa mujibu wa ILANI ya Chama Cha Mapinduzi, katika kuindeleza sekta ya mifugo ni pamoja na kuongeza uzalishaji wa mitamba, kupima na kumilikisha wafugaji maeneo ya ufugaji, kujenga miundombinu ya mifugo na kueneza uzalishaji wa mifugo bora. Katika kutekeleza azma hiyo ya Serikali Mkoa wa Arusha umetekeleza mikakati mbalimbali ya kuiwezesha sekta ya mifugo kutoa mchango stahiki kwenye kukuza uchumi wa nchi na kuongeza kipato, kama ifuatavyo:-
Sekta Ndogo ya Uvuvi
Kwa ujumla uendeshaji wa shughuli za uvuvi siyo eneo la kipaumbele sana kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha. Hii ni licha ya umuhimu iliyonayo sekta ya uvuvi katika kuimarisha lishe na kuongeza kipato cha wananchi. Kutokana na hali hiyo Serikali imekuwa ikiwahamasisha wananchi ili waweze kujihusisha na ufugaji wa kisasa wa samaki kwa kutumia mabwawa madogo. Ili kuweza kufikia azma hiyo shughuli kadhaa za uvuvi zimetekelezwa kwa uratibu wa Serikali ya Mkoa, kama ifuatavyo:
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa