• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Miundombinu

KAZI ZILIZOFANYWA NA SEKTA YA ARDHI MKOA KATIKA ROBO YA KWANZA, PILI, YA TATU 2016/2017:

Usuluhisho wa Migogoro ya Ardhi/Mipaka

ii.       Kupitia na kushauri juu ya rasimu za mipango miji       zinazojulishwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla ya      kuwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mipango Miji na Vijij          kwa uidhinisho wake kama Sheria ya Mipango Miji Na. 8 ya Mwaka 2007 inavyoelekeza.

iii.      Kuhakiki Kupitia Ramani za upimaji.       

iv.      Kukamilisha uandaaji wa Mpango Kabambe wa Jiji la   Arusha.

v.       Kuhimiza ukusanyaji wa Kodi na maduhuri yatokanayo na kodi za Ardhi.

vi.      Kuhimiza Upimaji wa Maeneo ya Taasisi za Serikali

         

Mkoa wa Arusha umefanikiwa kupata barabara mpya kwa kiwango cha lami, zenye  urefu wa kilometa 114.7 kwa mchanganuo ufuatao;

  • Barabara ya Tengeru Sakina yenye urefu wa KM 14.1 umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 72.087 imekamilika  na ipo kwenye muda wa uagalizi.
  • Barabara ya Mto wa Mbu-Loliondo,imeanza ujenzi kilomita 49 kutoka mji wa Wasso hadi Sale ambapo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 87 na kazi imeshaanza Oktoba 2017  na kipande hicho kinatarajia kukamilika Octoba 2019.
  • Barabara ya Ngaramtoni-Usa River “By Pass” yenye urefu wa KM 42.4 utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 67.258 na kukamilika ifikapo Juni 2018.
  • Barabara ndani ya Jiji la Arusha;-
  • Murriet-Sojema yenye urefu wa KM 2.5 gharama yake ni milioni
  •     73.2.

        (c)   Barabara ya Mkonoo yenye urefu wa KM 3 na itagharimu kiasi                                

               cha milioni 101.4

(d)   Barabara ya TBL-Unga Ltd yenye urefu wa KM 1.2 na gharama      

  •    yake ni milioni 237.

        (e)    Oljoro-Kisimani Km 4

        (f)    Kijenge-Usa River (Nelson Mandela) Km 2 yenye gharama 1.481

        (g)    Unga-Ltd- Dampo Km 5.9 kwa sh. Bilioni 8.584.

Sekta ya Ardhi

  • Tupo kwenye hatua za mwisho za ukamilishwaji wa Mpango Mji wa “Master plan” kwa Jiji la Arusha lakini pia mpaka kufikia 2020  Mpango Mji utakuwa umekamilika katika miji mingine ya Monduli, Karatu,Longido, na Loliondo.
  • Tunaendelea na upimaji wa maeneo ya Umma ambapo hadi sasa jumla ya maeneo 439 ya Umma yameshapimwa.
  • Umilikishwa wa ardhi, mpaka sasa  Mkoa unaendela na utoaji wa hati miliki ambapo wananchi 1,460 wameshakabidhiwa hati,vijiji 172 vimepatiwa vyeti vya umiliki na hati miliki 3,766 za kimila zimetolewa.
  • Tumefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi wa muda mrefu wa Pori Tegefu la Loliondo- maamuzi ambayo yameielekeza yalikuwa Wizara ya Maliasili na Utalii kuandaa mswada wa Sheria utakaowasilishwa Serikalini kupitia Baraza la Mawaziri kuhusu umuhimu wa kutunga Sheria mahsusi  ya eneo la Loliondo.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI UFAULU WA SHULE ZA MSINGI-RC KIMANTA

    April 19, 2021
  • WATOTO CHINI YA MIAKA 5 KUPATIWA VYETI VYA KUZALIWA BURE

    April 16, 2021
  • JAJI MKUU-YAFAHAMUNI MABORESHO YA MAHAKAMA

    April 15, 2021
  • ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI FALME ZA KIARABU

    April 08, 2021
  • Angalia Zote

Video

JIUNGENI NA BIMA YA AFYA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa