• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KUSANYENI KODI-RC KIMANTA

Posted on: January 21st, 2021

Halmashauri za Mkoa wa Arusha zimetakiwa kwenda kusimamia mapato katika maeneo yao, ili fedha hizo zikaisaidie serikali katika kuboresha huduma mbalimbali za maendeleo.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akifungua kikao cha ushauri cha Mkoa (RCC) kwa mwaka 2020/2021.

Amesema kuzembea kukusanya mapato ni kuikwamisha serikali katika kuleta miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi na baadhi ya huduma kukosekana.

Kimanta amesesisitiza kuwa mapato hayo yanasaidia sana katika kuongeza kiasi cha dawa katika hospitali zetu,kuboresha miundombinu ya barabara na huduma nyingine nyingi.

Aidha, ameziagiza mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kushirikiana katika kukusanya kodi katika maeneo yote ambayo yanatakiwa kulipa kodi.

Amesema  kulipa kodi ni jukumu la kila anaetakiwa kulipa na hii ndio kuonesha uzalendo kwa serikali yetu ambayo inapambana kuhakikisha kila Mtanzania anayaona na kufurahia maendeleo ya nchi yao.

Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha maendeleo yanaletwa kwa kasi kubwa, imependekeza bajeti ya kiasi cha bilioni 303 kwa mwaka 2021/2022 kwa matumizi ya kawaida na mipango ya maendeleo katika Mkoa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TUMIENI ARDHI KWA MAENDELEO YENU-RC KIMANTA

    February 26, 2021
  • NZIGE WADHIBITIWA KWA ZAIDI YA 70% WILAYANI LONGIDO

    February 25, 2021
  • MWALIMU MKUU AVULIWA MADARAKA

    February 19, 2021
  • WATAKAOHUJUMU MIUNDOMBINU YA MAJI KUKIONA-JUMAA UWESO

    February 17, 2021
  • Angalia Zote

Video

HAKUNA DIVISION ZERO ARUSHA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa