• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NZIGE WADHIBITIWA KWA ZAIDI YA 70% WILAYANI LONGIDO

Posted on: February 25th, 2021

Wadudu aina ya Nzige waliokuwa wamevamia pori Wilayani Longido wamedhibitiwa kwa zaidi ya 70%, baada ya kunyunyuziwa dawa ya kuwauwa.

Nzige hao waliovamia pori la Kijiji cha Kimokouwa na Kijiji cha Sinya wilayani humo wakitokea Nchi jirani ya Kenya, hawakuleta madhara yoyote katika maeneo hayo.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Kimanta amekagua eneo la Kimokouwa lililovamiwa na Nzige hao na kujionea njinsi wadudu hau walivyouwawa kwa kupuliziwa dawa.

Kimanta ameishukuru Wizara ya Kilimo, Taasisi ya utafiti wa viwatilifu katika ukanda wa Kitropiki (TPRI),Viongozi wa Wilaya ya Longido na wananchi kwa ujumla kwa ushirikiano mkubwa waliouwonesha hadi kufanikiwa kuwadhibiti Nzige kwa kiasi kikubwa.

Akitoa taarifa ya namna zoezi la udhibiti Nzige lilivyokuwa kwa Mkuu wa Mkoa,bwana Oshingi Shila mtalaamu kutoka TPRI amesema, Nzige hao walifika katika Kijiji cha Oriendeki na kundi la pili lilifika katika Kijiji cha Kimokouwa na kwenda hadi Kijiji cha Sinya.

Bwana Oshingi ameeleza kuwa Nzige hao hawajaleta madhara yoyote kwani walikuwa bado kwenye hatua za ukuaji hivyo hawakuwa na nguvu ya kuharibu mazao katika eneo hilo.

Amesema zoezi la kuwauwa lilifanyika kwa kunyunyuzia dawa kwa ndege kwa kushirikiana na shirika la Chakula Duniani (FAO) na kufanikiwa kuwadhibiti kwa zaidi ya asilimia 70 na bado wataalamu wanaendelea kulifuatilia eneo hilo ili kujiridhisha kama Nzige wote wamedhibitiwa.

Bwana Daudi Saloon ni mwananchi wa Kijiji cha Kimokouwa amesema kuwa Nzige hao walivamia pori la Kijiji hicho na anasema Nzige hao walikuwa wengi sana lakini Serikali imefanikiwa kuwadhibiti kwa kiasi kikubwa sana.

Wadudu aina ya Nzige waliingia Wilayani Longido Februari 20,2021 kutokea nchi ya Kenya na mnamo Februari 23 Serikali ilifanikiwa kuwadhibiti kwa kuwanyunyuzia dawa.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI UFAULU WA SHULE ZA MSINGI-RC KIMANTA

    April 19, 2021
  • WATOTO CHINI YA MIAKA 5 KUPATIWA VYETI VYA KUZALIWA BURE

    April 16, 2021
  • JAJI MKUU-YAFAHAMUNI MABORESHO YA MAHAKAMA

    April 15, 2021
  • ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI FALME ZA KIARABU

    April 08, 2021
  • Angalia Zote

Video

JIUNGENI NA BIMA YA AFYA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa