• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WAAPISHWA

Posted on: September 13th, 2019

“Mkasome kwa makini kanuni za uchaguzi wa mwaka 2019 na kufuata ratiba vizuri ya uchaguzi kwa kuzingatia mipaka ya ramani ya uchaguzi kwenye maeneo yenu”.

Akitoa maagizo hayo Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) injinia Joseph Muhanga, katika kuapishwa kwa wasimamizi saba wa uchaguzi wa serikali za mitaa katika Mkoa wa Arusha.

Pia, ameitaka sekretarieti ya Mkoa na ofisi za wakuu wa wilaya kuhakikisha wanasimamia kwa umakini maandalizi na uchaguzi wote wa serikali za mitaa,unaotarajia kufanyika mapema Novemba mwaka huu.

Baada ya kushuhudia kuapishwa kwa wasimamizi hao Injinia Muhanga alipata fursa ya kuzungumza na watumishi wa umma kutoka sekretarieti ya Mkoa, Halmashauri ya Jiji la Arusha na Halmashauri ya Arusha kwa lengo la kujitambulisha baada ya uteuzi wake.

Amesisitiza usimamizi mzuri wa fedha za miradi inayotolewa na serikali na kuwataka wakurugenzi kuhakikisha wanazisimamia kwa umakini na miradi yake inatekelezeka katika kiwango bora.

Ameupongeza uwongozi wa Mkoa pamoja na halamshauri zake katika kufanya vizuri kwenye maeneo mbalimbali yakiwemo ya elimu na kusimamia vizuri miradi mbalimbali katika Mkoa.

Mapema mwezi huu Waziri Ofisi  Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mhe. Seleman Jaffo alifanya uteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi kwa mwaka 2019 takribani 184 kwa nchi nzima na Mkoa wa Arusha umepata wasimamizi saba wa kusimamia halmashauri zote saba.

Tangazo

  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020 December 06, 2019
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI TENGENI FEDHA ZA LISHE

    December 12, 2019
  • WAZAZI KUWENI MAKINI MNAPOWAHAMISHA WATOTO WENU

    December 10, 2019
  • VIJANA CHANGAMKIENI FURSA KATIKA KUJITOLEA

    December 06, 2019
  • MREMBO WA DUNIA KUTANGAZA UTALII WA NCHI

    October 29, 2019
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa