• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Uchumi na Uzalishaji Mali

Seksheni hii inajishughulisha na kutoa utaalamu na huduma mbalimbali zinazohusiana na Mifugo,Kilimo,Uvuvi,Ushirika,Utalii,Misitu, Wanyama pori,Biashara na Viwanda (Uwekezaji) kwenye Sekretarieti ya Mkoa. Seksheni hii inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.

Majukumu ya seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Mali

  • Kuratibu utekelezaji wa Sera ya Kilimo, Mifugo, Ushirika, Misitu, Wanyama pori, Ufugaji samaki, Viwanda na masoko.
  • Kuzijengea uwezo MSM katika utekelezaji wa shughuli za Kilimo, Ufugaji, Ushirika, Misitu, Wanyamapori, Viwanda na biashara.
  • Kuzishauri MSM kuhusu teknolojia sahihi na rahisi  za sekta ya Uchumi na Uzalishaji Mali.
  • Kusajili vyama vya Ushirika Mkoani.
  • Kushauri MSM kuhusu uanzishaji na ukaguzi wa vyama vya ushirika na vya akiba na mikopo (SACCOS).
  • Kushauri MSM kuhusu uanzishwaji na uendelezaji wa miradi midogo na ya kati.
  • Kusaidia na kushauri MSM kutambua maeneo ya Uwekezaji katika maeneo yao.
  • Kusaidia na kuwezesha MSM katika uendelezaji wa Sekta ya ufugaji samaki 
  • Kufuatilia, kuratibu na kuwezesha masuala yanayohusu Misitu katika mkoa.
  • Kushauri juu ya matumizi ya sheria na kanuni zinazohusiana na hifadhi na uendelezaji wa wanyama pori
  • Kuzisaidia na kuzishauri Halmashauri kuendeleza maeneo ya wanyamapori.
  • Kushauri MSM katika ufuatiliaji shughuli za utalii, idadi na mtawanyiko wa wanyamapori.
  • Kuwezesha MSM katika utekelezaji wa Sera ya Mazingira namba 2 ya mwaka 2004
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa MSM kuhusu uendeshaji wa skimu za umwagiliaji
  • Kuratibu utekelezaji wa uboreshaji wa shughuli za kibiashara katika mkoa.
  • Kushiriki katika hatua za kutambua mapungufu na mahitaji ya mafunzo kwa watumishi wa MSM kuhusu matumizi ya fursa na vikwazo.
  • Kushiriki katika kutambua mahitaji ya mafunzo na kujenga uwezo kwa watumishi wenye uhitaji.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • KERO ZA WANANCHI KUSIKILIZWA KILA SIKU July 14, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ONGEZENI UFAULU WA SHULE ZA MSINGI-RC KIMANTA

    April 19, 2021
  • WATOTO CHINI YA MIAKA 5 KUPATIWA VYETI VYA KUZALIWA BURE

    April 16, 2021
  • JAJI MKUU-YAFAHAMUNI MABORESHO YA MAHAKAMA

    April 15, 2021
  • ZIARA YA WAZIRI WA ULINZI FALME ZA KIARABU

    April 08, 2021
  • Angalia Zote

Video

JIUNGENI NA BIMA YA AFYA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Sanduku la Barua: 3050 Arusha

    Simu: 27 254 5608

    Simu Nyingine: 027 254 4950

    Barua Pepe: ras@arusha.go.tz

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa