Seksheni hii inajishughulisha na kutoa utaalamu na huduma mbalimbali zinazohusiana na Mifugo,Kilimo,Uvuvi,Ushirika,Utalii,Misitu, Wanyama pori,Biashara na Viwanda (Uwekezaji) kwenye Sekretarieti ya Mkoa. Seksheni hii inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.
Majukumu ya seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Mali
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Sanduku la Barua: 3050 Arusha
Simu: 27 254 5608
Simu Nyingine: 027 254 4950
Barua Pepe: ras@arusha.go.tz
Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa