• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

Posted on: September 26th, 2025



. Aipongeza CRDB kwa kufikisha Miaka 30 ya kuwahudumia Watanzania katika maeneo mengi ikiwemo Namanga


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Ijumaa Septemba 26, 2025 amezindua Tawi la Benki ya CRDB, Namanga Wilayani Longido, akisema tawi hilo litakuwa kiunganishi muhimu cha biashara za mpakani, kukuza biashara pamoja na kuimarisha uchumi wa Kikanda suala ambalo litaifanya Namanga kuendelea kuwa kitovu cha biashara, Kilimo na uwekezaji.


"Serikali pia imeendelea kuwekeza katika miundombinu ya TEHAMA ikiwemo kuimarisha Mkongo wa Taifa wa mawasiliano na kuweka mazingira rafiki ya ubunifu kama vile huduma za kibenki za kidijitali, huduma za fedha kupitia simu, huduma za kibenki mtandaoni na pia huduma za uwekezaji kama kijani bond, Samia infrastructure bond na SUKUK ambazo benki ya CRDB imeongoza katika kuanzishwa kwake." Amekaririwa akisema CPA Makalla.


Amesema huduma hizo za kifedha ni kichocheo muhimu cha ustawi wa wananchi na maendeleo ya Taifa, ikisaidia kuwezesha wananchi kuweka akiba kwa njia salama, kupata mikopo ya kuendeleza biashara na shughuli zao nyingine za kiuchumi na kushiriki kujenga uchumi na kupunguza umaskini, akiwataka kuunganisha huduma zao na sekta ya utalii kwa kupeleka huduma kwenye maeneo yenye kutembelewa zaidi na watalii na wageni wanaofika Mkoani Arusha.


Akitoa maelezo ya Benki hiyo kwa Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Wateja wadogo na wa Kati Bw. Bonaventura Paul amesema Benki hiyo itaendelea kuwa Mshirika wa Kimkakati wa maendeleo ya Mkoa wa Arusha ambapo kufunguliwa kwa tawi la Namanga kunaifanya benki hiyo kuwa na Jumla ya matawi 14 miongoni mwa matawi 268 nchi nzima, wakiwa na mawakala 1801 kwenye Mkoa wa Arusha, 120 kati yake wakiwa Wilaya ya Longido.


Kwa upande wake Meneja wa Benki hiyo Kanda ya Kaskazini Bw. Cosmas Saddat amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji wa biashara kwa Taasisi za kifedha nchini pamoja na ushirikiano mkubwa wanaoupata serikalini, akiwahakikishia wananchi wa Namanga na Wilaya ya Longido kuwa kwasasa huduma za Benki hiyo zinapatikana kwa asilimia




Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • ZIMESALIA SIKU 3 TUU; KUPIGA KURA OKTOBA 29,2025

    October 26, 2025
  • ZIMESALIA SIKU 4 KUPIGA KURA YAKO OKTOBA 29,2025

    October 03, 2025
  • WENYEVITI WA MITAA HAKIKISHIENI WANANCHI  WANAPIGA KURA KWA AMANI - RC MAKALLA...

    October 24, 2025
  • EWE MTANZANIA ZIMESALIA SIKU 5 KUPIGA KURA OKTOBA 29,2025..

    October 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • SILVAWIN
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • Situs Toto Slot