• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

Posted on: September 24th, 2025

  _* Awahakikishia wananchi Amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi Uchaguzi*


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla @amosmakalla leo Jumatano Septemba 24, 2025 amewahakikishia amani, usalama na utulivu wanafunzi, Walezi na wananchi wa Mkoa wa Arusha katika kipindi chote cha Kampeni, siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi Mkuu wa Jumatano Oktoba 29, 2025.


CPA Makalla ameyasema hayo kwenye Viunga vya Ofisi yake Jijini Arusha wakati alipopokea maandamano ya wanafunzi wa shule ya Msingi Green Valley ya Mkoani Arusha ambao wapo kwenye shamrashamra za kuelekea kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya shule hiyo, Ujumbe wa Maadhimisho hayo ukiwa ni kusisitiza kuhusu amani kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.


"Nataka niwahakikishie kuwa mtasoma kwa amani, mtaishi kwa amani na uchaguzi utafanyika kwa amani. Tunawahakikishia kwamba kuanzia sasa, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi nchi yetu itaendelea kuwa na amani na niwapongeze kwa kuadhimisha miaka 25 kwa kuhamasisha amani. Mkasome kwa amani na nchi yetu itaendelea kuwa na amani." Amesisitiza Mhe. Makalla.


Awali katika maelezo yao wanafunzi hao wameeleza kuwa wameamua kufanya matembezi hayo ya amani wakitambua kuwa amani ndio msingi wa elimu, maendeleo na ustawi wa jamii, wakisema bila amani elimu hukwama na mustakabali wao watoto hushindwa kufahamika, wakisema ni muhimu kila mmoja kufahamu kuwa kudumisha amani ni jukumu la kila mwananchi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ZIMESALIA SIKU 3 TUU; KUPIGA KURA OKTOBA 29,2025

    October 26, 2025
  • ZIMESALIA SIKU 4 KUPIGA KURA YAKO OKTOBA 29,2025

    October 03, 2025
  • WENYEVITI WA MITAA HAKIKISHIENI WANANCHI  WANAPIGA KURA KWA AMANI - RC MAKALLA...

    October 24, 2025
  • EWE MTANZANIA ZIMESALIA SIKU 5 KUPIGA KURA OKTOBA 29,2025..

    October 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • SILVAWIN
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • Situs Toto Slot